Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Meneja ujenzi wa kampuni ya BQ Bw. Neven Slavujevic inayojenga mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter ) kwenye kituo cha kupakulia mafuta kilichopo Mji Mwema Kigamboni jijini Dar es salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, akipanda juu ya mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter) kwa ajili ya kuukagua kwenye kituo cha kupakulia mafuta kilichopo Mji Mwema Kigamboni jijini Dar es salaam.
Meneja ujenzi wa kampuni ya BQ Bw. Neven Slavujevic inayojenga mtambo wa kupima mafuta bandarini (flow meter )akifafafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa alipokagua mtambo huo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...