Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi (Mb) akiwa amepokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa bunge la Israel, Bwn. Ronen Plot., alipofika na ujumbe wake ofisini  kwake kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelline Mabula (Mb) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa bunge la Israel, Bwn. Ronen Plot. Alipofika na ujumbe wake ofisini  kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Willium Lukuvi (Mb) kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi (Mb) akizungumza  ujumbe kutoka Israel, walipofika ofisini  kwake kuzungumza naye kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Israel. Mhe Lukuvi alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa (Mb).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Jamani Wa Tanzania Wenzangu,Tuwe Makini Sana Na Watu Hawa. unapokumbatiwa,Kwanza Jiulize Kwanini,Pili,Kabla Hujaingia Huko Ni Vizuri Uwajue Kwa Undani Zaidi,Watu Hawa Ni Watu Wa Namna Gani.wengine Sio,ila Ni Vinyonga! Isifike Mahali Tukajitumbukiza Kwenye Mabalaa Km Wanayopata nchi Zingine, Kwa Ajili Tu Ya MASLAHI !!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...