Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu namna Wizara ya Katiba na Sheria ilivyojipanga katika kutatua changamoto za utoaji haki nchini . Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva (wa pili kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju (kulia).
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu namna alivyoishauri Wizara ya Katiba na Sheria inavyoweza kutatua changamoto za utoaji haki nchini bila kuharibu kanuni zilizopo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...