Katibu Mkuu Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni na Michezo Omar Hassan Omar kushoto akikabithiwa nyaraka  na Katibu Mkuu Mstaafu Ali Mwinyikai katika makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo  Kikwajuni Mjini Unguja.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni na Michezo Omar Hassan Omar kushoto na Katibu Mkuu Mstaafu Ali Mwinyikai wakitiliana saini katika makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni na Michezo  Kikwajuni Mjini Unguja.
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Amina Ameri Issa kulia akikabidhiwa nyaraka na Naibu Katibu Mkuu Mstaafu Issa Mlingoti katika makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni  na Michezo  Kikwajuni Mjini Unguja
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni na Michezo Omar Hassan Omar akitoa nasaha zake kwa Wakurugenzi na Watendaji mbali mbali waliohudhuria katika makabidhiano ya Ofisi yaliofanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari  Utalii Utamaduni  na Michezo  Kikwajuni Mjini Unguja
Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Omar Hassan Omar mwenye koti na tai akiwa katika Picha ya pamoja na Naibu katibu Mkuu wa Wizara hiyo Amina Ameri Issa pamoja na Wakurugenzi na Watendaji wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Kikwajuni Mjini Unguja.PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...