Dereva wa gari la ubalozi lililogongwa kwa nyuma akijaribu kuongea na dereva na konda wa daladala lililosababisha ajali hiyo. Haikujulikana mara moja kama waliweza kuelewana na yaliishaje maana ripota wetu aliyekuwa anapita kwa gari hakuweza kusimama maeneo ya Msasani jirani na ofisi za ZANTEL jijini Dar es salaam leo.
Home
Unlabelled
KUNA LUGHA GONGANA HAPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...