Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete (mwenye fulana nyekundu) akiangalia maendeleo ya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, wakati alipotembelea eneo hilo lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze. Juhudi za ujenzi zimekuwa zikiendelea toka siku lilipobainika tatizo hilo na matarajio ni kumalizika jioni hii na maji kusukumwa kuanzia kesho.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete, akipatiwa maelezo na mmoja wa mafundi wanaofanya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze.

Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mkoani Pwani, Mh. Ridhiwani Kikwete, akiendelea kuangalia maendeleo ya ukarabari wa Bomba kubwa la Maji lililokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa nchini, lililopo katika Karavati bondeni Msata -Kihangaiko, Chalinze.
Mafundi wakiendelea na kazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hii picha ya mwisho huyu ''Obama'' mwenye shati jekundu na gum-boots pia alikuwepo?!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...