Watu kadhaa wamenusurika kufa, baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria mali ya Shirika la Ndege la Auric Air kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa Bukoba, Mkoani Kagera ilipokuwa ikitua. Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutokea Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30, 2016.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa. Pichani ni Rubani wa Ndege hiyo akiwasaidia abiria wake kutoka kwenye Ndege hiyo.
Home
Unlabelled
NEWS ALERT: ABIRIA WANUSURIKA KIFO AJALI YA NDEGE MJINI BUKOBA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Poleni mlionusurika hivi vindege udogo wake tu unatisha ni vizuri haikuwa kwenye maji. Auric nunua ndege kubwa kidogo.
ReplyDelete