Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akihutubia mkutano wa hadhara, katika kata ya Bashnet, Wilayani Babati mkoa wa Manyara, April 10, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Manyara.
Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka (kushoto), akilakiwa na Kinamama wa Kata ya Bashnet, alipowasili katika kata hiyo kuhutubia mkutano wa hadhara katika kata hiyo, Wilayani Babati mkoa wa Manyara, April 10, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Manyara.
Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akipitia Ilani ya CCM ya 2015-2020, kabla ya kuhutbia mkutano wa hadhara katika kata ya Bashnet, wilaya la Babati mkoani Manyara, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, April 10, 2016. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa ManyaraNdengaso Ndakubali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...