Home
Unlabelled
RAIS DKT. MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA KUWASHUKURU WENYEVITI, MAKATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WA MIKOA NA WILAYA ZA TANZANIA BARA NA VISIWANI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
The mdudu, Asante sana rais wetu mpendwa JPM tupo pamoja hao lazima wafuatiliwe sio MAJIPU tu na ni mamruki waulizwe mpaka uraia wao coz tushachoka kusikia ujinga toka kwao wao hata baazi ya waandishi wa habari waanze kufuatiliwa pia huko ndio kumejaa MAJIPU na mamruki sasa wakati ndio huu wakumulikwa kwa jicho la 3 kila kukicha wao kuandika mambo ya negative pasipo na positive from now let say enough is enough
ReplyDeleteHii ndio kasi mpya Tanzania mpya. Hongera raisi wetu, tulisha choka hasa hili bara la Africa kujinufaisha watu wachache, wewe ni kiongozi wa kuigwa katika bara hili, hakika utaleta mapinduzi makubwa ndani ya hili bara letu, lililopewa jina la bara jeusi mpka na watu wake weusi, sasa litakuwa jeupe kama nuru ingazavyo gizani, ikianzia hapa nchi kwetu Tanzania
ReplyDeleteI salute you Mr President. Do your job, the majority of the population are behind you and supporting you. Just ignore the few who are part of the problem. Tanzania is very rich and it is our belief under ur leadership the country will prosper and shine. God bless you and God bless the people of The United Republic of Tanzania. Long live Magufuli
ReplyDelete