SIMU.TV: Rais Magufuli ampokea rais wa Sudani Kusini  Salva Kiir Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kuwasili leo asubuhi;  https://youtu.be/G3-SOq8b23A 
SIMU.TV: Katibu mkuu wa EAC anayemaliza muda wake Dkt. Richard Seziberi  akimuelezea rais Salva mafanikio nchi yake itakayoyapata EAC; https://youtu.be/BWlLpTRAmLY  
SIMU.TV: Mh.Mahinga  akieleze utekelezaji  wa  makubaliano ya mikataba ya amani pamoja na masuala ya wakimbizi  nchi za Afrika Mahsariki; https://youtu.be/KKqrdy25qvI  
SIMU.TV: Rais Magufuli asimamia utiaji saini wa mkataba wa Sudan kusini kujiunga na jumuiya ya afrika mashariki baada ya kukidhi vigezo; https://youtu.be/vX6Fax0b90o
 SIMU.TV: Rais Kiir akielezea matarajio ya nchi yake katika kurejesha amani katika nchi yake pamoja na ubalozi mpya wa Sudani hapa nchini; https://youtu.be/zZkQctfb7XA  
SIMU.TV: Rais Magufuli aelezea umuhimu wa nchi ya Sudani Kusini kukubaliwa kujiunga na jumuiya ya Afrika Mashariki;  https://youtu.be/pxc2D7TSRxA
 SIMU.TV: Rais Magufuli na mgeni wake rais Salva Kirr wakisaini fomu maalum kwaajili ya kuhifadhi katika kumbukumbu ya tukio la utiaji saini lililofanyika leo; https://youtu.be/S2Ljeb-BN0M  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...