Tunapenda kuwaarifu ndugu, Jamaa na Marafiki kuwa tutakuwa na kikao cha maombolezi ya msiba wa Ndugu yetu David Mhina aliyefariki ghafla hapa London. Kikao hicho kitafanyika siku ya leo tarehe 23/04/2016 kuanzia saa kumi jioni.

Adress ya makutano yetu ni,
15 Manse Close, Hillingdon, UB3 5ED.

Titashukuru Pia kwa msaada wa mchango wako 


ambao unaweza ukaweka kwenye account hii👇👇

METRO BANK,
Acc No. 10919417
Sort code 23-05-80.
Name- Michael Ananias Mwanga.

Tunashukuru Sana kwa ushirikiano wako na ni mategemeo yetu kuwa utajumuika nasi kwenye maombi ya ndugu yetu David Mhina

Namba ya dada wa mfiwa.
Mrs. RHODA FRANSIS MWANGA- 07974332047.
Ahsanteni Sana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...