Meneja elimu kwa mlipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, Diana Masalla akizungumza na wanachama cha umoja wa usafirishaji abiria hapa nchini (TABOA), kuhusiana na ulipaji wa kodi kwa hiyari katika sekta ya usafirishaji.

MAMLAKA ya mapato Tanzania (TRA) imetoa mafunzo kwa Wanachama cha wasafirisha abiria (TABOA) jijini Dar es Salaam leo, kuhusiana na wanachama hao kulipa kodi kwa hiyari bila shuruti.
 Meneja wa elimu kwa Mlipa kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Gabriel Mwangosi akizungumza na wanachama cha umoja wa usafirishaji abiria hapa nchini (TABOA) jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanachama wa chama cha wasafirishaji abiria hapa nchini wakipata elimu ya kulipakodi kwa hiari inayoendeshwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...