Mwenyekiti mpya wa Chama cha Wafanyakazi (TUGHE) tawi la TUMESHERIA Bi. Anjela Shila akiwashukuru wajumbe wakati wa uchaguzi wa viongozi.
Afisa Tawala wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Suzana Magoti akizungumza machache kwa niaba ya uongozi wa Tume wakati wa uchaguzi wa viongozi wa TUGHE tawi la TUMESHERIA.
Viongozi pamoja na Wajumbe wapya wa TUGHE tawi la TUMESHERIA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya uchaguzi, wa kwanza kulia ni muwakilishi wa TUGHE mkoa Bw. Alquine Masubo.





Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...