Usikose kutazama kipindi cha mizani ya wiki kupitia Azam TV na Jamaly Hashim ambapo utamsikia mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo pamoja na aliyekuwa Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali, Mh. Ludovick Utouh wakipongoza juhudi za serikali kutokana na kujenga nidhamu ya juu ya matumizi ya fedha za umma na hatua zinazochukuliwa.Kipindi hiki kitaruka hesho kuanzia mbili na nusu usiku. Usikose.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...