Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania – Kassim Majaliwa na Mkurugenzi wa NMB – Ineke Bussemaker wakifunua bango la NMB kuashiria uzinduzi rasmi wa mfumo wa kielektroniki wa NMB wa ukusanyaji mapato ya serikali kupitia halmashauri. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti mpya wa ALAT – Gulamhafeez Mukadam, Mkamu Mwenyekiti wa ALAT – Stephen Mhapa na Abdulmajid Nsekela – Afisa Mkuu wa wateja wadogo wa NMB.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania – Kassim Majaliwa na Mkurugenzi wa NMB – Ineke Bussemaker wakiangalia bango lililozinduliwa na Mh Waziri Mkuu kwaajili ya mfumo mpya wa ukusanyaji mapato ya halmashauri kwa njia ya kielektroniki kupitia NMB. Kondi mbalimbali ndani ya halmashauri zitakuwa zinalipwa kupitia NMB Mobile, Matawi ya NMB na NMB Wakala. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti mpya wa ALAT – Gulamhafeez Mukadam, Mkamu Mwenyekiti wa ALAT – Stephen Mhapa na Abdulmajid Nsekela – Afisa Mkuu wa wateja wadogo wa NMB.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania – Kassim Majaliwa akimpongeza Mkurugenzi wa NMB – Ineke Bussemaker kwa hatua iliyofikiwa na benki hiyo ya kuanza rasmi ukusanyaji wa mapato ya halmashauri kwa njia ya kielektroniki kupitia NMB. Kondi mbalimbali ndani ya halmashauri zitakuwa zinalipwa kupitia NMB Mobile, Matawi ya NMB na NMB Wakala. Wanaoshuhudia ni Mwenyekiti mpya wa ALAT – Gulamhafeez Mukadam, Mkamu Mwenyekiti wa ALAT – Stephen Mhapa na Abdulmajid Nsekela – Afisa Mkuu wa wateja wadogo wa NMB.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...