

Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu,
akitoa hotuba yake wakati wa Uzinduzi wa Taasisi ya Basila Mwanukuzi
(Basila Mwanukuzi Empowerment Foundation), uliofanyika kwenye Ukumbi wa
Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es salaam leo Aprili 11, 2016.

Mwanzilishi
wa Taasisi ya Basila Mwanukuzi (Basila Mwanukuzi Empowerment
Foundation), Basila Manukuzi, akizungumza machache wakati wa hafla ya
uzinduzi wa Taasisi yake hiyo yenye lengo la kusaidia wanawake kuinua
uwezo wao wa kibunifu ili kujiinua kiuchumi hasa Mama Lishe uliofakika
leo Aprili 11, 2016 kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es
salaam.

Picha ya pamoja na baadhi wa Wageni wa waalikwa pamoja na Kina Mama Lishe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...