Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akiangalia chakula cha Ng'ombe wakati alipotembelea mashamba ya ng'ombe na kiwanda cha MilkCom kinachomilikiwa na makampuni ya OilCom Group kilichopo Kigamboni wilayani Temeke jijini Dar es salaam akiongozana na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini humo, Ujumbe huo ulikuja nchini kwa lengo la kuangalia fursa za uwekezaji zilizopo nchini Tanzania na ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi hizi mbili.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-KIGAMBONI)
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akiongozwa na Mkurugenzi wa kiwanda cha Milkcom Bw. Salum Nahdi wakati alipokuwa akitembelea kiwanda hicho. 
Baadhi ya ng'ombe katika shabla la kampuni ya MilkCom
Dk. Sajeev Kumar Meneja wa Shamba la mifugo akitoa maelezo kwa Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic na ujumbe wake wakati alipotembelea shamba hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...