Usikose leo jumapili Mei 15,2015 kuanzia saa 12 jioni ndani ya CHECK INN PUB Kilimahewa, Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza.
Kutakuwa na show kali ya muziki wa dansi ambapo bendi ya African Artists Academy ya Jijini Mwanza itatoa burudani kwa wanamwanza kwa kiingilio cha shilingi 3,000 tu.
Bonyeza HAPA Kwa Maelezo Zaidi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...