Photo Credits: bigfatbags.co.uk
Hivi karibuni, serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitanganza kuanza kuchukua hatua kuhusu athari za mifuko ya plastiki kwa mazingira yetu.
Watu mbalimbali wamekuwa na mtazamo kinzani juu ya maamuzi hayo.
Wapo wanaoamini kuwa mifuko hiyo ni sehemu ya uchafuzi wa mazingira na wengine wanaamini kuwa kwa kuondolewa kwake, kuna sehemu ya ajira ambayo itaathirika.
Ripoti hii ya Mubelwa Bandio katika Amplifaya ya Mei 30, 2016 imegusia baadhi ya takwimu chache kuhusu suala hili
KARIBU

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2016

    Je ile inayohifadhia taka katika Ndoo za nyumbani na Mahospitalini inakuwaje nazo pia Marufuku?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...