Mkurugenzi wa taasisi ya Basilla Mwanukuzi Foundation na Miss Tanzania 1998, Basilla Mwanukuzi akiungana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mh. Ally Hapi pamoja na viongozi wa vyama na serikali na wananchi wa kinondoni katika kuupokea Mwenge wa Uhuru jana Mei 16, 2016 kwenye uwanja wa shule ya Bunju. Mwenge huo umeanza kukimbizwa katika wilaya ya Kinondoni ukitokea Mkoani Pwani.
Basilla Mwanukuzi akipokea mwenge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...