Home
Unlabelled
EWAAAAHH... HAYA NDIYO MAMBO TUNATAKA...KUTII SHERIA BILA SHURUTI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Daa kama kijijini vile watu wamepanga foreni ya ugawaji
ReplyDeleteAsanteni sana huo ndio uzalendo na ustaarabu sio kila kitu ubabe ubabe tu ni mimi ndugu yenu The mdudu, nilie huku Uingereza kwenye City ya Leicester ilio shangaza dunia kwa ubingwa wa ligi kuu ya England, ila to be honest mimi huko siludi mpaka MAJIPU yaishe maana Tanzania yetu iliotwa na MAJIPU kila kona
ReplyDeleteKupanga foleni wala si Sheria, ni uungwana na ustaarabu tu.
ReplyDeleteHongera DART na utulivu wa watu wetu. Huyo wa Leicester ambaye anaona kwa wenzio ndio maana sana kuliko kwao tunamuombea fanaka kubwa ili siku moja ajaliwe arudi kusaidia kwao. Ujinga wetu ni pale tunapokimbia kwetu na kupadharau tukidhania hao tuliokimbilia kwao wanatuheshimu. Jamaa anasubiri kufa wamchangie kumrudisha makaburini huku anapopaita hapafai! Wabongo wengine ajabu kweli.
ReplyDeletehongera sana wananchi.
ReplyDeleteNchi zote zilizoendela hufanya hivyo. Hakuna mtu kumkatiza aliyekuwa kwenye mstari. Hii ilikuwa inatokea Tanzania tu. Ulaya na Marekani wanapanga foleni ,hata uwe nani unafuata mstari. Ni ustaarabu unaopendeza.Maana binadamu wote nisawa, hakuna aliyebora hasa kwenye huduma za jamii.