Ni miaka mitatu imepita tangu ulipotwaliwa Mpendwa Mama yetu Victoria. Ni Roho Mtakatifu pekee anayetufariji kila mara majonzi na huzuni vinapotujaa mioyoni. Tunaamini  kuwa Mama umepumzika katika utukufu wake Mungu.

Unakumbukwa sana na mumeo Thomas Kiama, wanao Evelyn, Grace, Mary, Agnes, Esther na Stella,wakwe zako Wilfred, Noel na Richard, wajukuu zako Clifford, Ian, William, Eleon, Mainda, Kandi, Agness, Mboni, Lincoln na Lucas.

Upendo, ucheshi, ukarimu na tabasamu lako vitabaki kuwa nguzo katika maisha yetu siku zote.Kipenzi Mama tulikupenda sana lakini Mungu Mwenyezi alikupenda zaidi. Umepumzika kwa amani!

Familia ya Thomas M. Kiama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Rest In Peace Mama Victoria T. Kiama. Wewe umetangulia nasi sote kwa Muumba ni marejeo yetu.
    Mfuo wa hicho Kidani ni wa zamani kweli kweli, yaani pia umenikumbusha Marehem Mama yangu (Rest In Peace).

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...