Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu (wa pili kulia) akiwa na wanamuziki wakundi la Mafikizolo , Nhlanhala Nciza kulia na Theo Kgosinkwe ,(wapili kushoto) mara baada ya kuwasili kwenye  Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere   jijini Dar es Salaam leo jioni kwa ajili ya kutumbuiza katika hafla ya Uzinduzi wa huduma ya Mtandao wa kasi wa 4G wa Vodacom Tanzania kesho  jioni,Utakaofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City ,Pamoja na Tamasha la Vodacom Kichuo Zaidi litakalofanyika  katika Chuo Kikuu cha UDOM Mkoa wa Dodoma Mei 12 mwaka huu.Kushotoni ni Meneja wa mwanamuziki Nasibu Abdul”.Diamond platinumz “ Sallam Sharaff.
  Mwanamuziki wa kundi la Mafikizolo,NhlanhalaNciza (kulia)  akitete jambo na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu  mara baada ya kuwasilia kwenye  Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere   jijini Dar es Salaam leo jioni kwa ajili ya kutumbuiza katika Hafla ya  Uzinduzi wa huduma ya Mtandao wa kasi wa 4G wa Vodacom Tanzania kesho jioni katika ukumbi wa Mlimani City ,Pamoja na Tamasha la Vodacom Kichuo Zaidi litakalofanyika  katika Chuo Kikuu cha UDOM Mkoa wa Dodoma Mei 12 mwaka huu.  Kushoto ni  Theo Kgosinkwe wakundi hilo na Meneja wa mwanamuziki Nasibu Abdul”.Diamond platinumz “ Sallam Sharaff.
 Mwanamuziki wa kundi la Mafikizolo kutoka Nchini afrika Kusini,NhlanhalaNciza (kulia) na mwenzake Theo Kgosinkwe, wakihojiwa na waandishi  wa habari mara baada ya kuwasili kwenye  Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere   jijini Dar es Salaam leo jioni kwa ajili ya kutumbuiza katika hafla ya Uzinduzi wa huduma ya Mtandao wa kasi wa 4G wa Vodacom Tanzania,Pamoja na Tamasha la Vodacom Kichuo Zaidi litakalofanyika katika Chuo kikuu cha  UDOM Mkoa wa Dodoma Mei 12 mwaka huu. Wapili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...