SIMU.TV:  Hii hapa randama ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya habari, tamaduni, sanaa na michezo kwa waka wa fedha 2016/2017. https://youtu.be/RMm7x7SwGbI
SIMU.TV:  Mhe. Suleiman Jafo atoa majibu ya namna serikali ilivyojipanga kutatua tatizo la maji kwa wananchi wa vijijini. https://youtu.be/3O_iV7MZru0
 SIMU.TV:  Mbunge wa Chamwino Mhe. Joel Mwaka aitaka serikali kutoa hatma ya ujenzi wa madaraja mawili yaliyopo kati ya barabara ya Chamwino kuelekea kaskazini. https://youtu.be/ThxpsjbSenA
SIMU.TV:  Je shirika la ndege la Tanzania ATCL ni shirika la pamoja kati ya Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar ina asilimia ngapi  katika shirika hilo? https://youtu.be/Il2w94zXskc
 SIMU.TV:  Je ni lini serikali italeta marekebisho ya sheria ya NECTA ili kuondoa nguvu ya waziri kutoa maelekezo bila kuhoji? Mhe. Waitara aihoji. https://youtu.be/3O_iV7MZru0
 SIMU.TV:  Hii hapa mikakati wa serikali juu ya kuanzisha benki ya wafanyabiashara wakubwa na wadogo ili kuwawezesha wajasiliamali kupata huduma bora. https://youtu.be/dE68_QSKXbs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...