Ndugu Ally Said (40) amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao . Kwa yoyote atakayemtambua afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.
Mwenye picha hapo juu ambaye jina lake halijafahamika amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya matibabu, anatafuta ndugu zake ambao amepotezana nao .Kwa yoyote atakayemtambua binti huyu afike Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Uhusiano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...