Wachezaji wa Timu ya Yanga, Juma Abdul (kushoto) na Simon Msuva (kulia) kwa pamoja wakishangilia baada ya kupata goli la pili lililotiwa kimiani na Matheo Anthony (kati), wakati wa Mchezo wa Makundi wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 2-0.
Beki wa Yanga, Juma Abdul, akijaribu kumtoka Mchezaji wa Timu ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, katika mchezo uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 2-0.
Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, akiipachikia timu yake bao la kuongoza wakati wa Mchezo wa Makundi wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 2-0.
Mshambuliaji wa Timu ya Yanga, Amisi Tambwe, pamoja na Beki wa Timu ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, wakiwania mpira wa juu, wakati wa Mchezo wa Makundi wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, uliopigwa jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa, Jijini Dar es salaam. Yanga imeshinda bao 2-0.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Kipa wa tiku ya GD Sagrada Esperanca ya nchini Angola, Roadro Juan Da Semero akiusindikiza mpira kwa macho ulipokuwa ukiingia langoni kwake, ikiwa ni mkwaju mkali uliopigwa na Matheo Anthony wa Yanga.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...