Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Dk Abdallah Possi (kulia), akiwasilisha mada katika semina ya Wabunge kukuza na kuimarisha usawa wa watu wenye ulemavu nchini, kwenye Ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bukene, Mhe. Seleman Zedi (CCM) na Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.
 Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akifungua semina hiyo

 Baadhi ya wabunge wakihudhuria kwenye semina hiyo

 Mhe. Zedi akiongoza majadiliano wakati wa semina hiyo
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
KAMANDA WA MATUKIO BLOG


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...