Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff Karama akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kutoa wito kwa waganga wote kutii agizo la Serikali la kujisajiri ili kureta ufanisi katika taaluma ya Tiba Asili hapa nchini, leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Taifa wa Baraza la Waganga Watafiti Tiba Asilia Daud Wiketye.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff Karama.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...