Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff  Karama akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kutoa wito kwa waganga wote kutii agizo la Serikali la kujisajiri ili kureta ufanisi katika taaluma ya Tiba Asili hapa nchini, leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Taifa wa Baraza la Waganga Watafiti Tiba Asilia Daud Wiketye.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Katibu Mkuu Baraza la Tiba Ushauri Utafiti wa Dawa Asili Tanzania BAWATA, Shariff  Karama.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...