Mkuruzenzi wa Kliniki ya Meno ya ABC ya Jijini Dar es Salama, Dr. Gombo Felician (kulia) akizungumza na wanafunzi wapatao (71) wa Shule ya Msingi Fedha ya Kawe, kabla ya kufanyiwa uchunguzi wa Afya ya Kinywa na Meno bure , ikiwa ni moja ya wanafunzi hao kutembelea kliniki hiyo kwa kujifunza jinsi ya utunzaji wa kinywa na meno na kuwapa hamasa ya kupenda Udaktari na kati ya wanafunzi 71, wanafunzi 45 wamekutwa na matatizo ya kinywa na wengine meno yamezibwa. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mmoja wa wanafunzi hao akifanyiwa uchunguzi wa Kinywa na Meno
Rehema Mgaya, ambae ni Mwalimu alieongozana na wanafunzi hao akifanyiwa uchunguzi wa kinywa na Meno ambapo amefurahishwa na huduma hiyo na kuwaomba waalimu wengine na Taasisi kuwapeleka wanafunzi na hata wafanyakazi kufanya uchunguzi kila mara wa Afya ya Kinywa na Meno kwa kutembelea Kliniki hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...