Mkufunzi na Mwalimu wa Sauti Tony Joett akitoa mafunzo ya sauti kwa washiriki waliochaguliwa kuingia tano bora katika fainali za  shindano la Airtel Trace Music Stars zilizopangwa kufanyika tarehe 20 mei 2016 hapa jijini Dar es Saalam. . Mshindi ataondoka na zawadi ya shilingi milioni 50 na kupata nafasi ya kuiwakisha Tanzania katika mashindano ya Afrika yatakayofanyika nchini Nigeria
 Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (wa pili kulia) wakijipongeza kwa pamoja na washiriki waliochaguliwa kuingia tano bora katika  shindano la Airtel Trace Music Stars ambapo fainali zake zitakafanyika tarehe 20 mei 2016 hapa jijini Dar es Saalam. Mshindi ataondoka na zawadi ya shilingi milioni 50 na kupata nafasi ya kuiwakisha Tanzania katika mashindano ya Afrika yatakayofanyika nchini Nigeria
Washiriki waliochaguliwa kuingia tano bora katika  shindano la Airtel Trace Music Stars wakifurahia ushindi huo uliowapa tiketi ya kuingia katika fainali zitakafanyika tarehe 20 mei 2016 hapa jijini Dar es Saalam. Mshindi ataondoka na zawadi ya shilingi milioni 50 na kupata nafasi ya kuiwakisha Tanzania katika mashindano ya Afrika yatakayofanyika nchini Nigeria.  Kutoka kushoto ni Benny Sule, Nicole Grey, Salim Mlindila,  Nandi Charles na Melisa Elina John

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza washiriki waliongia kwenye tano bora katika shindano kubwa Afrika la kusaka vipaji vya muziki lijulikanalo kama Airtel Trace Music Stars.

Ikiwa ni miezi mitatu tangu kuanza kwa msimu wa pili wa shindano la Airtel Trace Music Stars na kushirikisha  maelfu ya vijana wa kitanzania, Airtel imetangaza majina ya washiriki wa tano bora walioingia kwenye fainali za kitaifa ambao ni pamoja na Benny Sule, Nicole Grey, Nandi Charles, Melisa Elina John na Salim Mlindila.
Kusoma zaidi Bofya HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...