Yanga yaibuka Kidedea Mara baada ya Kuibugiza Timu ya Mbeya City Fc Goli Mbili kwa Sifuri, (2-0) katika Mchezo ulio Chezwa katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya huku wafungaji wakiwa ni Vicent Bossou Goli la Kwanza na Amis Tambwe Goli la Pili..
Kikosi Kazi cha Timu ya Mbeya City Fc Wakoma Kumwanya.
Baadhi ya Waamuzi wakisalimiana kabla ya Mtanange huo kuanza.
Goli Kipa machachali na Mkongwe katika Soka Nchini Juma Kaseja akiwa katika Mkao wa kiufundi lango la Mbeya City Fc.
PICHA ZOTE NA MR,PENGO MMG MBEYA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...