KATIKA KUADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA, BODI YA MAZIWA TANZANIA INAPENDA KUWATANGAZIA WADAU WAKE WOTE WA MAZIWA NCHINI WENYE KERO/MAONI / CHANGAMOTO KUHUSU MASUALA YA UFUGAJI, USINDIKAJI, UKUSANYAJI, USAMBAZAJI, UINGIZAJI WA MAZIWA NA BIDHAA ZAKE NA WADAU WOTE WALIOKO KWENYE MNYORORO WA THAMANI WA MAZIWA KUFIKA OFISI ZA BODI YA MAZIWA ZILIZOPO MIKOCHENI MTAA WA URSINO NYUMBA NO 13.

VILEVILE KWA WALIO MIKOANI WANAWEZA KUTUMIA TOVUTI YA BODI, MITANDAO YA KIJAMII, BARUA PEPE AU KUPIGA SIMU KUWASILISHA MAONI YAO. 

BODI ITAPOKEA MAONI HAYO TAREHE 22/06/2016 HADI TAREHE 24/06/2016 KUANZIA SAA 3:00 ASUBUHI HADI SAA 7:00 MCHANA.

IMETOLEWA NA: 
NELSON KILONGOZI 
KAIMU MSAJILI 
BODI YA MAZIWA 
Barua pepe: info@tdb.go.tz
Tovuti: www.tdb.go.tz
Simu: +255 22 2771089
          +255754 881908
Facebook: tanzaniadairy.board

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...