Dereva Makini wa Tolori Maarufu Kwajina la Mkokoteni Mjini Sumbawanga Jina lake Limehifadhiwa, Ni Dereva ambae anajitahidi kujali na Kuthamini Kazi yake pindi anapo kuwa na Chombo chake kama ambavyo aonekanavyo katika Taswira hapo juu na kuwakumbusha Madereva wengine haswa Madereva wa Pikipiki kuiga Mfano wake pindi wanapo kuwa na Vyombo vyao Barabarani.
PICHA NA MR.PENGO MMG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...