Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (katikati) akipokea msaada wa Mashuka 100 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF),  Joyce Shaidi, yaliyotolewa kwa Hospitani ya Rufaa ya Mbeya, Kitengo cha Huduma ya Wakinamama na Watoto - META, kutoka Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF). Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali hiyo, Dkt. Godlove Mbwanji.
  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (kushoto) akipokea moja ya Maboksi ya Mashuka 100 kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF),  Joyce Shaidi, yaliyotolewa kwa Hospitani ya Rufaa ya Mbeya, Kitengo cha Huduma ya Wakinamama na Watoto - META, yaliyotolewa na Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF). 
  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla (wa pili kushoto) akikabidhi Mashuka hayo kwa Uongozi wa Hospitali hiyo baada ya kukabidhiwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF),  Joyce Shaidi, yaliyotolewa kwa Hospitani ya Rufaa ya Mbeya, Kitengo cha Huduma ya Wakinamama na Watoto - META.
 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Amos Makalla akizungumza machache wakati akitoa shukrani zake kwa Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF), kwa msaada walioutoa kwa Hospitani ya Rufaa ya Mbeya, Kitengo cha Huduma ya Wakinamama na Watoto - META. Kulia walioketi ni Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko huo, Daud Msangi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...