
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wapili kushoto) akiwasili katika hafla ya uzinduzi wa matukio ya siku ya msanii katika ukumbi wa Alliance Francaise Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na wasanii wakati wa uzinduzi wa matukio ya siku ya msanii katika ukumbi wa Alliance Francaise Jijini Dar es Salaam.

Mwanamziki mkongwe wa miondoko ya rhumba Stara Thomas akizungumza na wasanii wenzake (hawapo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa matukio ya siku ya msanii katika ukumbi wa Alliance Francaise Jijini Dar es Salaam.

Picha mbalilmbali za viongozi wa serikali na wasanii wakati wa hafla ya uzinduzi wa matukio ya siku ya msanii katika ukumbi wa Alliance Francaise Jijini Dar es Salaam. Picha na WHUSM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...