Mkurugenzi wa Makumbusho na Nyumba ya
Utamaduni Dar es Salaam Bw Achiles Bufure, akifafanua jambo kwenye Mkututano na
wasanii wa Kimataifa wa Ngoma za Ubunifu na Muziki, awapo pichani.
Msanii wa Kimataifa wa Ngoma za Ubunifu na Muziki wa asili Bw Isack Abeneko akifafanua jambo kwenye Mkututano na Uongozi wa MakumbushonaNyumba ya Utamaduni Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUSHIRIKIANA NA WASANII WA KITANZANIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...