David Nabarro, Mshauri  Maalum  wa Katibu Mkuu kuhusu utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu ( Agenda 2030) na Mkataba wa   Mabadiliko ya Tabia nchi,  akizungumza wakati wa Mkutano  usio  rasmi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa siku ya jumatatu,  na   uliopokea  pamoja na  taarifa nyingine Ripoti ya Jopo   la Ngazi ya Juu kuhusu Mwitikio wa Kimataifa wa  Majanga ya Afya,  Jopo  hilo   lililokuwa  chini ya Uongozi wa Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Tanzania Mhe. Jakaya  Mrisho Kikwete  liliundwa na  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  Bw, Ban Ki Moon,  April 2015.  Katika mkutano  huo ambao   Mwenyekiti wa Jopo   Kikwete ( kwenye  screen) aliongeoa kwa njia ya   video  conference  kutokea  Dakar  Senegal, Ban Ki Moon  amesema Umoja wa Mataifa na  Shirika la Afya Duniani   wameanza kutekeleza baadhi ya mapendekezo ya Jopo.
Kwa tarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...