Picha ya Marehemu Hezron Polepole Kinyangidzi.
Jaji Warioba na Mkwewe wakitoa heshima ya mwisho
Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim akiweka udongo kaburini
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Humphrey Polepole akiweka udongo kwenye kaburi la Baba yake Mzee hezron Polepole.
Waziri Mkuu Mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mzee Joseph Sinde Wariobaakiweka udongo kwenye kaburi la Baba yake Humphrey Polepole.
Humphrey Polepole akiweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yake mzazi aliyezikwa Juni 26 ,2016 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...