Mchezaji wa Kimataifa kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa anaichezea timu ya TP Mazembe ya nchini Kongo-DRC,Thomas Ulimwengu mapema leo akiwa katika picha ya pamoja na Mdau mkubwa wa Soka hapa nchini (pichani shoto),Othman Shaaban Tippo a.k.a Zizzou.Mchezaji huyo Mshambuliaji wa TP Mazembe amemtembelea mdau huyo anaemiliki duka la vifaa vya michezo lililopo maeneno ya Bamaga,Sinza jijini Dar na kumjulia hali,Ulimwengu amemshukuru na kumtakia afya njema na heri  Mdau Tippo katika shughuli zake mbalimbali,Tippo amempatia vifaa kadhaa vya michezo mchezo huyo Thomas Ulimwengu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...