Mchezaji
wa Kimataifa kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa anaichezea timu ya
TP Mazembe ya nchini Kongo-DRC,Thomas Ulimwengu mapema leo akiwa katika
picha ya pamoja na Mdau mkubwa wa Soka hapa nchini (pichani shoto),Othman Shaaban Tippo
a.k.a Zizzou.Mchezaji huyo Mshambuliaji wa TP Mazembe amemtembelea mdau
huyo anaemiliki duka la vifaa vya michezo lililopo maeneno ya
Bamaga,Sinza jijini Dar na kumjulia hali,Ulimwengu amemshukuru na
kumtakia afya njema na heri Mdau Tippo katika shughuli zake mbalimbali,Tippo amempatia vifaa kadhaa vya michezo mchezo huyo Thomas Ulimwengu.
Home
Unlabelled
Mchezaji Thomas Ulimwengu amtembelea Mdau wa soka nchini Shaaban Tippo jijini Dar leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...