Mhe.January Makamba(MB),Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Rais(Muungano na Mazingira ) ameitumia Siku ya Tarehe 25 /6/2016 kushiriki katika mahafali ya 24 ya chuo cha biblia Vuga  (VUGA BIBLE )kilichopo katika halmashauri ya Bumbuli mkoani Tanga.  Vilevile Mhe.January Makamba alipata fursa ya kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo inayofanywa na chuo hicho,Pia  aliupongeza uongozi wa chuo kwa kutoa elimu mbali mbali kwa wananchi waishio karibu na chuo na bumbuli kwa ujumla.

 Mhe.January Makamba akiwasili chuoni hapo huku akisalimiana na wenyeji  
 Mh Makamba akijifunza namna ya utengenezaji wa Mizinga ya nyuki kwa kutumia udongowa mfanyanzi,mizinga hiyo inauwezo wa kudumu miaka 80-100.
Mh Makamba akielekezwa jambo huku akijifunza  historia ya chuo hicho kwa njia ya picha.
 Akitazama baadhi ya kazi za mikono za kikundi cha wakina mama wa Upendo,kikundi hicho kimepata mafunzo chuoni hapo.
 Mh Makamba akifuruhia jambo kwa pamoja na Wana kikundi hao. 
Picha zote na Imani Selemani Nsamila

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...