Mkuu wa Wilaya ya Karagwe, Deodatus Kinawiro akizungumza jambo wakati wa harambee ya uchangiaji wa madawati kwa kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano John Pombe Magufuli kwaniaba ya Wilaya yake Karagwe  ambapo harambee hiyo ilifanyika Jijini Dar es Salaam  kulia ni Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya hiyo, Willace Mashanda na kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Karagwe Innocent Bashungwa. 
(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
 Wadau wa ishio Dar es Salaam ambao ni wazaliwa wa Karagwe wakiwa katika harambee hiyo Jijini Dar es Salaam
 Kuanzia kulia ni Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Karagwe,  Eng, Walter Kirita, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Karagwe, Wallace Mashanda, Mkuu wailaya ya Karagwe, Deodatus Kinawiro, Mbunge wa Jimbo la Karagwe Mh. Innocent Bashungwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya harambee hiyo,  Medard Birusya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 21, 2016

    Ina maana kuna madarasa ya kutosha ila hakuna madawati.

    Mbona hakuna kuchangia uongezaji wa madarasa, vitabu, vifaa, na walimu?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...