Winga wa zamani wa kimataifa wa klabu ya Yanga anayetajwa kuwa winga wa muda wote nchini kwa vigezo vya waliomuona, Mzee wetu Abdurahman Lukongo amefariki Dunia mchana huu katika hospitali ya Amana jijini Dar es salaam, alikokuwa akipatiwa matibabu.

Msiba upo nyumbani kwake makutano ya mtaa wa Simba na Kariakoo, Kariakoo jijini Dar es salaam

Inna lillah wainna ila ilaihi raajiuun...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...