Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika la bima la taifa Sam Kamanga akikabidhi hundi ya tshs milioni 95,000,000 kwa Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo,Natujwa Mellau kwa ajili ya malipo ya gari la halmashauri lililopata ajali maeneo ya kerege Bagamoyo.
Kaimu Mkurugenzi wa shirika la bima la Taifa Sam Kamanga akizungumza na kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya bagamoyo,Natujwa Mellau ofisini kwake Bagamoyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...