Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akikagua stoo ya sukari katika kiwanda cha kagera sugar kuona akiba ya sukari iliyobakia sambamba na kujionea hali halisi ya uzalishaji wa sukari kiwandani hapo.
 Mkuu wa mkoa wa kagera  Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akisikiliza taarifa ya kiwanda cha kagera sugar kutoka kwa meneja mkuu wa kiwanda hicho(hayupo pichani)katika ziara yake ya kutembelea kiwanda hicho.Lengo la ziara hiyo ikiwa ni kuona akiba ya sukari iliyobakia sambamba na kujionea hali halisi ya uzalishaji wa sukari kiwandani hapo.Picha na Editha Karlo,Globu ya Jamii-Kigoma
 Mkuu wa mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu (mwenye suti)akiwa na viongozi wa kiwanda cha kagera sugar wakati alipofanya ziara yake kiwandani hapo
 Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja jenerali staafu Salum Kijuu na ujumbe wake wakiangalia sehemu ya maji yaliyojaa kwenye shamba la miwa la kiwanda cha kagera sugar,hali hiyo ilipelekea kiwanda kusimamisha uzalishaji
 Baadhi ya mifuko ya sukari iliyohifadhiwa katika stoo ya kiwanda cha kagera sugar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...