Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi, Prof. Joseph Semboja, akimkaribisha Spika mstaafu wa Bunge Mhe. Anna Makinda pale kiongozi huyo alipotembelea taasisi hiyo kwa mara yake ya kwanza mapema leo.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Profesa Joseph Semboja akimuelezea Spika mstaafu Mhe. Anna Makinda kuhusu mpango wa ujenzi wa ofisi za kudumu za Taasisi hiyo zilizopo katika kijiji cha Kondo, wilayani Bagamoyo.
Mazungumzo yakiendelea kati ya Spika mstaafu Mhe. Anna Makinda na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi Profesa Joseph Semboja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...