Mkurugenzi
Mkuu wa Shirikisho la Viwanda Duniani Mr. Li Yong, akimpa zawadi ya
picha Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
anayeshughulikia Viwanda Dr. Adelhelm Meru, walipokutana kwa mazungumzo
mafupi wakati wa Mkutano wa "Viwanda na Mazingira" unaoendelea Mjini
Ulsan, Korea ya Kusini.
Home
Unlabelled
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA VIWANDA NA MAZINGIRA UNAOENDELEA NCHINI KOREA YA KUSINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...