Baadhi ya Wanawake wa Jiji la Mbeya wakifurahi kwa pamoja huku wakicheza Muziki na Kupigana Picha katika Hafra fupi ya Mwanamke Simama Imara iliyofanyika hivi karibuni. Hafra iliyoandaliwa na Miss Mbeya Mwaka 2013 Jacklin Luvanda na kusapotiwa na Ally Rich Sanaa (Arts) Limited Ann's Statinary na Michuzi Blog kwa lengo la kuwakutanisha Wanawake wa Jiji la Mbeya, kuwa karibu katika harakati za kutafuta Maendeleo, Kupeana Mafunzo ya Ujasilia Mali na kubadilishana Mawazo Mbalimbali.
Muandaaji wa kongamano la "Mwanamke Simama Imara" Miss Mbeya 2013 Jacklin Luvanda akizungumza jambo kwa Wageni waalikwa hawapo Pichani.
Mshindi wa Shindano la Miss Mbeya kwa Mwaka huu wa 2016 Eunice Robert akiwa ndani ya Vazi lake la Umisi katika Hafra hiyo ya Kongamano la "Mwanamke Simama Imala" lililo fanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa G.R City hotel Soweto Jijini Mbeya.
Mwalimu wa Somo la "Mwanamke Simama Imala" ambae pia ni Muigizaji katika Tasnia ya Filamu Nchini Maarufu kwa Jina la Kemmy akitoa Somo kwa Wanawake wa Jiji la Mbeya hawapo Pichani...
PICHA ZOTE NA MR.PENGO MMG MBEYA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...