Meneja Mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL) mkoa wa  Arusha ,Orest Mmbaga akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa Eliasi Polo mkazi wa Moshi akiwa ni miongoni mwa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Tusker Fanya kweli.Makabidhiano ya Hundi yamefanyika katika baa ya Kinondoni iliyopo eneo la Kiusa,Moshi mjini.
 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Serengeti Breweries (SBL) mkoa wa Kilimanjaro,Godwin Seleli akikabidhi mfano wa Hundi ya Sh Milioni moja kwa Deogratius Shayo  wa Moshi akiwa ni miongoni mwa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Tusker Fanya kweli .Makabidhainao ya Hundi yamefanyika katika baa ya Kinondoni iliyopo eneo la Kiusa,Moshi mjini.
  Meneja Masoko wa Bia ya Tusker Nandi Mwiyombela (kushoto) akimkabidhi mfano wa Hundi mmoja wa washindi 10 wa kwanza wa Promosheni ya Milioni 100 na Tusker Fanya Kweli Uwini Michael Mwinuka mkazi wa Tabata Dar es Salaam katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...