
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Bw. Jaskaran Chugh ambaye ni
Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Polytra International yenye Makao yake
nchini Ubelgiji (katikati) na Bw. Mark Lemki wa Kampuni ya Impala ya
Switzerland, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Juni 20, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...