Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiteta na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Bi.  Zamaradi Kawawa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Juni 8, 2016. 
 Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge wa Viti Maalum, Mhe. Shally Raymound (kulia) na Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa kwenye viwanja vya Bunge mjini  Dodoma Juni 8, 2016.
Waziri Mkuu Mhe.  Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Kamishina  Valentino Mlowola kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 8, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...